• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

Sekta ya Elimu

Utangulizi:

Mkoa wa Simiyu unaendelea kusimamia Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari, Ufundi na Elimu ya Watu Wazima kwa mujibu wa miongozo ya Nchi. Mkoa una jumla ya Shule za Msingi 631 ambapo shule za serikali ni 606 na zisizo za serikali ni 25.  Aidha, Mkoa una Shule 197 za Sekondari ambapo, 183 ni za Serikali na 14 za mashirika ya dini na watu binafsi. Mkoa una Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi 02, Vyuo vya Ufundi 04 na Vyuo Vikuu 02. Jumla ya wanafunzi katika Shule za Msingi za serikali ni 545,090 na idadi ya wanafunzi katika Shule za Sekondari za Serikali ni 93,387.


Jedwali Na. 9: Taasisi za Kielimu katika Mkoa wa Simiyu


Halmashauri

 

Shule za Awali & Msingi

 

Shule za Sekondari

Vyuo Vya Maendeleo ya Wananchi

Vyuo vya Ufundi

Vyuo vya Ualimu

 

Vyuo Vikuu

Serikali

Binafsi

Serikali

Binafsi

Serikali

Binafsi

Serikali

Binafsi

Serikali

Binafsi

Serikali

Binafsi

Bariadi DC

101

5

29

1

0

0

1

0

0

0

1

0

Bariadi TC

47

8

18

2

1

0

1

0

0

0

1

0

Busega DC

91

8

25

5

0

0

0

0

0

0

0

0

Itilima DC

107

0

33

1

0

0

1

0

0

0

0

0

Maswa DC

135

3

44

4

1

0

1

0

0

0

0

0

Meatu DC

125

1

34

1

0

0

0

0

0

0

0

0

Jumla Ndogo

606

25

  183

14

2

0

4

0

0

0

2

0

JUMLA KUU

631

197

2

4

0

2


2.2 Elimu ya Msingi na Sekondari

Idadi ya wanafunzi katika Shule za Msingi na Sekondari imekuwa ikiongezeka kila mwaka ambapo Mkoa una jumla ya wanafunzi 545,090 wa Shule za Msingi za serikali mwaka 2024, ikilinganishwa na wanafunzi 504,987 mwaka 2021. Hili ni ongezeko la wanafunzi 40,103 sawa na 7.3%.  Jumla ya wanafunzi wa Shule za Sekondari za Serikali ni 93,387 mwaka 2024, ikilinganishwa na wanafunzi 69,601 mwaka 2021. Idadi hii ni ongezeko la wanafunzi 23,786 sawa na 25.4%. 

  • Idadi ya Walimu katika Shule za Msingi na Sekondari

Walimu wa Shule za Msingi

Mkoa una jumla ya walimu 6,422 kati ya 12,113 wanaohitajika kwa Shule za Awali na Msingi za Serikali. Upungufu ukiwa ni walimu 5,691 sawa na asilimia 46.9 kama mchanganuo unavyoonekana kwenye jedwali Na.10 hapa chini;-

Jedwali Na. 11: Takwimu za Walimu wa Shule za Awali na Msingi (Aprili, 2025)


Na

Halmashauri

Mahitaji
Waliopo
Upungufu

% Ya Upungufu

1

BARIADI TC

1,272

742

530

41.6

2

BARIADI DC

2,496

1,193

1,303

52.2

3

BUSEGA

1,733

1,047

686

39.5

4

ITILIMA

2,508

1,176

1,332

53.1

5

MASWA

2,335

1,202

1,133

48.5

6

MEATU

1,769

1,062

707

39.9

           JUMLA

12,113

6,422

5,691

46.9


Idadi ya Walimu wa Shule za Sekondari

Mkoa una jumla ya walimu 1,205 wa Sayansi na Hisabati, kati ya walimu 1,940 wa masomo hayo wanaohitajika kwa Shule za Sekondari za Serikali na hivyo kuwepo na upungufu wa walimu 735 sawa na 37.8%.   Kwa upande wa masomo ya Sanaa Mkoa una jumla ya walimu 1,352 kati ya walimu 2,245 wanaohitajika na hivyo kuwepo na upungufu wa walimu 893.Upungufu huu ni 39.7%. Jedwali Na.12 linaonesha takwimu kwa kila Halmashauri.

Jedwali Na. 12: Takwimu za Wanafunzi na Walimu Ki-halmashauri (Sekondari)


H/shauri

Idadi ya Wanafunzi

Idadi ya Walimu (Aprili 2025)

2022

2023

2024

2025

Walimu wa Sayansi & Hisabati

Walimu wa Sanaa

Mahitaji

waliopo

Upungufu

Mahitaji

Waliopo

Upungufu

Ziada

Bariadi TC

9,633

9,633

12,919
11,410

221

101

120

261

175

86

0

Bariadi DC

10,513

10,509

14,640
14,571

296

159

137

441

166

275

0

Busega

13,922

14,872

21,735
19,086

310

199

111

351

258

93

0

Itilima

10,294

10,864

12,778
13,946

314

251

63

350

257

93

0

Maswa

15,781

16,480

21,249
19,719

503

303

200

559

297

262

0

Meatu

9,458

9,848

12,489
12,630

296

192

104

283

199

84

0

JUMLA

69,601

74,228

95,810
93,387

1,940

1,205

735

2,245

1,352

893

0


 

2.3 Walimu wa ajira mpya

Katika kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia Serikali imeendelea kuajiri walimu wapya. Mkoa wa Simiyu umepangiwa jumla ya walimu wa ajira mpya 471 mwaka 2025 wakiwemo 250 wa Shule za Msingi na 221 wa Shule za Sekondari na hivyo kuendelea kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu katika Shule za Msingi na Sekondari katika Mkoa.  Mgawanyo Ki-halmashauri unaonekana kwenye jedwali Na. 13 hapa chini.

Jedwali Na.13: Takwimu za Uripoti wa Walimu wa Ajira Mpya Aprili, 2025


 

H/SHAURI

SHULE ZA MSINGI

SHULE ZA SEKONDARI

WALIOPANGWA

WALIORIPOTI

WASIORIPOTI

WALIOPANGWA

WALIORIPOTI

WASIORIPOTI

ME

KE

JML

ME

KE

JML

ME

KE

JML

ME

KE

JML

ME

KE

JML

ME

KE

JML

Bariadi TC

31

5

36

31

5

36

0

0

0

21

9

30

21

9

30

0

0

0

Bariadi DC

31

24

55

31

24

55

0

0

0

14

7

21

14

7

21

0

0

0

Busega

10

24

34

10

23

33

0

1

1

39

10

49

39

9

48

0

1

1

Itilima

18

15

33

18

15

33

0

0

0

32

19

51

28

19

47

4

0

4

Maswa

42

9

51

42

9

51

0

0

0

24

16

40

24

16

40

0

0

0

Meatu

15

26

41

15

25

40

0

1

1

11

19

30

11

18

29

0

1

1

 Jumla

147

103

250

147

101

248

0

2

2

141

80

221

137

78

215

4

2

6

  •  
















Hali ya Upatikanaji wa miundombinu kwa Shule za Msingi na Sekondari

Mkoa una vyumba vya madarasa 5,825, nyumba za walimu 2,151, vyoo matundu 7,072 na madawati 122,425. 

 

Hali ya uandikishwaji wa Darasa la Kwanza:

Mkoa umekamilisha zoezi la uandikishaji wa Wanafunzi wa Elimu ya Awali na Darasa la Kwanza mwaka 2025 ambalo limekamilika rasmi nchi nzima tarehe 31 Machi, 2025. Takwimu za maoteo/ malengo ya uandikishaji huu zilitolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kutokana na Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika nchini mwaka 2022.

2.5.1 Uandikishaji wa Wanafunzi wa Elimu ya Awali mwaka 2025

Kwa mwaka 2025, Mkoa umeandikisha wanafunzi wa Elimu ya Awali 67,155 wakiwemo wavulana 31,537 na wasichana 35,618 sawa na asilimia 99.7 ya malengo ya kuandikisha wanafunzi 67,341. Uandikishaji huu umepanda kwa asilimia 17.7 ikilinganishwa na mwaka 2024 ambapo ulikuwa ni asilimia 82. Hali halisi ya uandikishaji kwa kila Halmashauri imeoneshwa katika jedwali Na. 17

 

Jedwali Na.17: Uandikishaji wa Wanafunzi wa Elimu ya Awali 2025 

NA

MKOA

HALMASHAURI

 MAOTEO 

WALIOANDIKISHWA 

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI

 WV 
 WS 
 JML

WV

WS

JML

WV

WS

JML

1

SIMIYU
BARIADI TC

     4,138

      4,279

          8,417

         4,311

         4,154

        8,465

          104.18

           97.08

        100.57

2

SIMIYU
BARIADI DC

     6,875

      7,425

        14,300

         7,087

         7,303

      14,390

          103.08

           98.36

        100.63

3

SIMIYU
BUSEGA DC

     4,172

      4,313

          8,485

4,296

4,218

8,514

103

98.00

100.5

4

SIMIYU
ITILIMA DC

     6,552

      7,160

        13,712

         5,565

         9,247

      14,812

            84.94

         129.15

        108.02

5

SIMIYU
MASWA DC

     6,246

      7,007

        13,253

         5,456

         5,919

      11,375

            87.35

           84.47

          85.83

6

SIMIYU
MEATU DC

     4,298

      4,876

          9,174

         4,822

         4,777

        9,599

          112.19

           97.97

        104.63

JUMLA KUU

   32,281 

    35,060 

        67,341 

       31,537 

       35,618 

      67,155 

            92.00 

           96.31 

          99.72 

 

Uandikishaji wa Wanafunzi wa Darasa la Kwanza 2025

Mwaka 2025, Mkoa umeandikisha wanafunzi wa Darasa la Kwanza 76,785 wakiwemo wavulana 37,956 na wasichana 38,829 sawa na asilimia 104.8 ya malengo ya kuandikisha wanafunzi 73,302. Aidha, asilimia ya uandikishaji huu ni sawa na mwaka 2024 ambapo Mkoa umevuka lengo la uandikishaji. Hali halisi ya uandikishaji kwa kila Halmashauri imeoneshwa katika jedwali Na. 18

 

Jedwali Na.18: Uandikishaji wa Wanafunzi wa Darasa la Kwanza 2025

NA
MKOA
HALMASHAURI

MAOTEO

WALIOANDIKISHWA

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI

WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML

1

SIMIYU
BARIADI TC
   4,002
   4,237
    8,239
   4,028
   4,229
  8,257

100.65

99.81

100.22


2

SIMIYU
BARIADI DC
   7,852
   8,348
  16,200
   8,806
   8,647
  17,453

112

104

108


3

SIMIYU
BUSEGA DC
   4,443
   4,578
    9,021
   5,100
   4,922
10022

114.79

107.51

111.1


4

SIMIYU
ITILIMA DC
   7,024
   7,645
  14,682
   8,104
   8,258
16,362

115

108

111.44


5

SIMIYU
MASWA DC
   6,618
   7,103
  13,721
   6,442
   6,775
  13,217

97.34

95.38

96.33


6

SIMIYU
MEATU DC
   5,457
   5,982
  11,439
   5,476
   5,998
  11,474

100.35

100.27

100.31


 JUMLA KUU

  35,396 
37,893 
   73,302 
  37,956 
  38,829 
76,785 
   101.8 
    98.0 
    104.8 

 

Hali ya uripoti wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 2025

Kwa Mwaka 2024 Mkoa wa Simiyu ulifaulisha jumla ya wanafunzi 29,012 wakiwemo wavulana 12,505 na wasichana 16,507 kati ya wanafunzi 38,171 waliofanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) ambapo wanafunzi wote waliofaulu wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza katika shule mbalimbali za Sekondari za bweni na kutwa. Jumla ya wanafunzi 28,190 wakiwemo wavulana 12,125 na wasichana 16,065 wameripoti na kuanza masomo. Hii ni sawa na asilimia 97.2 ya lengo la uripoti wa wanafunzi 29,012 waliochaguliwa kujiunga Kidato cha Kwanza mwaka 2025. Hali ya uripoti wa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza ni kama inavyoonekana katika jedwali namba 19.


Jedwali Na. 19: Hali ya uripoti wa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza 2025


NA.

HALMASHAURI

WALIOCHAGULIWA

WALIORIPOTI

ASILIMIA YA WALIORIPOTI

WAV

WAS

JML

WAV

WAS

JML

WAV

WAS

JML

1

BARIADI TC

     1,427

      1,945

      3,372

1,357

1,885

3,242

95

97

96.1

2

BARIADI DC

     2,021

      2,930

      4,951

1,935

2,801

4,736

96

96

95.7

3

BUSEGA DC

     2,490

      2,915

      5,405

2,316

2,764

5,080

93

95

94

4

ITILIMA DC

     2,037

      2,741

      4,778

1,989

2,641

4,630

98

96

96.9

5

MASWA DC

     2,538

      3,284

      5,822

2,538

3,284

5,822

100

100

100

6

MEATU DC

     1,992

      2,692

      4,684

1,990

2,690

4,680

99.9

99.9

99.9

JUMLA KUU

   12,505 

    16,507 

    29,012 

12,125

16,065

28,190

97

97

97.2

 

Utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Sektay a Elimu;

Mkoa umeendelea na usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya Elimu katika Shule za Msingi na Sekondari kupitia programu mbalimbali za serikali zikiwemo UVIKO 19, BOOST, GPE – LANES, SWASH, SEQUIP, Serikali Kuu, EPforR, Barrick Tanzania, TEA na Mapato ya Ndani ya Halmashauri. Katika kipindi cha mwaka 2021/2022 hadi 2024/2025 jumla ya Tshs. 69,631,113,189.99 zilipokelewa na kutumika kwa ajili ya ujenzi na ukamilishaji wa miundombinu mbalimbali ya elimu. Kati ya fedha hizi Tshs. 19,310,316,796.89 ni kwa ajili ya Shule za Msingi na Tshs. 50,320,796,393.10 ni kwa Shule za Sekondari na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA).

Miradi katika Shule za Msingi;

Kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi 2024/2025 Mkoa umepokea jumla ya Tshs 19,310,316,796.89 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya 16, madarasa ya msingi na awali 300, madarasa ya shule shikizi 69, matundu ya vyoo 1049, nyumba za walimu 19, uzio 02, mabweni 04. Miradi hii imetekelezwa kupitia programu mbalimbali zikiwemo UVIKO 19, BOOST, Serikali Kuu, GPE – LANES, SWASH, EPforR na Mapato ya Ndani. Utekelezaji kwa kila mradi ni kama inavyoonekana katika jedwali Na.20;-

 

Jedwali Na.20: Miradi ya Elimu inayotekelezwa katika Shule za Msingi 

Na

Jina la Mradi

Fedha iliyopokelewa

Miundombinu inayojengwa/ Kamilishwa

Hatua ya Ujenzi

% ya Utekelezaji

  1
UVIKO 19

1,460,000,000.00

Madarasa (Shule shikizi) 69
Bweni (Mahitaji maalum) 01
Ujenzi wa miundombinu yote umekamilika

100

2

BOOST I

9,316,600,000.00

Shule mpya 13
Madarasa ya Msingi 94
Madarasa ya Awali 12
Nyumba ya mwalimu 01
Matundu ya Vyoo 93
Ujenzi wa miundombinu yote umekamilika

100

3

BOOST II

2,361,100,000.00

i. Vyumba 79 vya madarasa
ii. Mtundu 150 ya vyoo
Ujenzi wa miundombinu yote umekamilika

100

3

Serikali Kuu

3,658,000,000.00

Shule mpya 01
Shule mpya imekamilika
100
Madarasa ya Msingi 92
 Madarasa  yamekamilika
100
Matundu ya vyoo 267
Miradi imekamilika
100
Nyumba za walimu 17
Miradi imekamilika
100
Bweni 01 na Uzio 02
Bweni na uzio vimekamilika
100

4

GPE - LANES

513,296,000.00

Bweni 02
Madarasa ya Awali 08
Ukarabati wa Vituo vya Walimu (TRCs) 10
Ujenzi umekamilika
     100

5

SWASH

998,139,020.89

Matundu ya vyoo 345
Miradi imekamilika
100

6

EPforR

713,000,000.00

Shule mpya 02
Shule zimekamilika

100

Madarasa ya Msingi 06
Matundu ya vyoo 30
Miradi imekamilika

100

7

Mapato ya Ndani

290,181,776.00

Ukarabati Madarasa ya Msingi  09
Matundu ya vyoo 164
Ukarabati nyumba ya mwalimu 01
Miradi yote imekamilika

100

Jumla Kuu

19,310,316,796.89

 
 
 

 

Miradi katika Shule za Seokndari;

Mkoa umeendelea kutekeleza ujenzi wa miundombinu ya Elimu ya Sekondari kupitia programu mbalimbali zikiwemo; UVIKO 19, Mpango wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) Serikali Kuu, Mpango wa Lipa Kulingana na Matokeo (EPforR), BARRICK Tanzania, Mapato ya Ndani ya Halmashauri na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).  Kuanzia kipindi cha mwaka 2021/2022 hadi 2024/2025 Mkoa umepokea jumla ya Tshs. 50,320,796,393.10 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya 27 za Sekondari, vyumba vya madarasa 662, matundu ya vyoo 171, nyumba 21, maabara 19, mabweni 12 na mabwalo 02. Utekelezaji kwa kila mradi ni kama inavyoonekana katika jedwali Na.21 hapa chini;-

Jedwali Na.21: Miradi ya Elimu inayotekelezwa katika Shule za Sekondari 

Na

Jina la Mradi

Fedha iliyopokelewa

Miundombinu inayojengwa/ Kamilishwa

Hatua ya Ujenzi

% ya Utekelezaji

  1

UVIKO 19

12,750,731,187.10

Madarasa 380
Chuo cha VETA 01
Ujenzi wa miundombinu yote umekamilika na inatumika

100

2

 

 

SEQUIP

(Awamu ya Kwanza)

3,290,000,000.00

Shule mpya 07 za Sekondari katika Majimbo saba ya Uchaguzi
Shule zote 07 zimekamilika na kusajiliwa
100

3

SEQUIP
(Awamu ya Pili)

9,631,116,403.00

Shule mpya 09 za Kata
Shule zote 09 zimekamilika na kusajiliwa.
 
 
 
 

100

Shule mpya 01 ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa (Fedha za Awamu ya kwanza)
Ujenzi unaendelea katika hatua mbalimbali. Aidha, shule imesajiliwa na inatumika

98

Nyumba za walimu 06 za (2 in 1)
Ujenzi umekamilika 
 

100

Maboma ya madarasa 46
Maboma ya Maabara 06
Maboma ya Vyoo 83
Miradi yote imekamilika
 

100

4

SEQUIP
(Awamu ya Tatu)

Shule mpya ya bweni ya wasichana ya Mkoa (Fedha za Awamu ya pili)
  • Ujenzi unaendelea

58

Shule ya Amali ya Mkoa
  • Ujenzi unaendelea

92

Shule za Amali za Halmashauri 03
  • Ujenzi unaendelea

Shule mpya za Kata 08
  • Ujenzi unaendelea
Mabweni 14
  • Ujenzi unaendelea
Madarasa 16
  • Ujenzi unaendelea
Matundu ya vyoo 54
  • Ujenzi unaendelea
Nyumba 09
  • Ujenzi unaendelea

5

Serikali Kuu

7,228,934,428.00

Madarasa 264
Madarasa yamekamilika

100

Mabweni 08
Mabweni yote 08 yamekamilika

100

Matundu ya vyoo 60
Yamekamilika

100

Nyumba za walimu 04
 Ujenzi umekamilika

100

Ukamilishaji Maabara 13
Zimekamilika

100

Mabwalo 02
Mabwalo yamekamilika

100

6

Barrick Tanzania

186,300.000.00

Madarasa 05
Bweni 01
Matundu ya vyoo 03
Ujenzi Umekamilika

100

7

EPforR

503,400,000.00

Madarasa 08
Mradi umekamilika

100

Mabweni 03
Ujenzi umekamilika

100

Matundu ya vyoo 04
Yamekamilika

100

8

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)

51,334,056.00

Matundu ya vyoo 24
Mradi umekamilika

100

9

Mapato ya Ndani

54,800,000.00

Ukamilishaji wa Madarasa 11
Miradi imekamilika

100

Jumla Kuu

 

50,320,796,393.10

 
 
 

Ujenzi wa Shule mpya za sekondari za Kata kupitia Mradi wa SEQUIP T.

Katika kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliofaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2024 wanapata nafasi ya Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2025 katika Shule za Sekondari mbalimbali za Kutwa, Mkoa umesimamia na kukamilisha ujenzi wa Shule zote 09 za Sekondari za Kata kwa asilimia 100. Aidha, Shule hizi zote zilianza kupokea wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2024. Aidha ujenzi wa shule nyingine mpya za Sekondari za Kata na Shule za Sekondari za Amali unaendelea katika Halmashauri zote sita na upo katika hatua mbalimbali kama inavyoonekana katika majedwali yafuatayo;-

Jedwali Na.22: Ujenzi wa Shule mpya za Sekondari za Kata (SEQUIP – Awamu ya III)

Na

HALMASHAURI

KATA 

KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA

KIASI KILICHOTUMIKA 

MIUNDOMBINU INAYOJENGWA

ASILIMIA YA JUMLA YA UTEKELEZAJI

MAELEZO


MADARASA

JENGO LA UTAWALA

MAABARA

MAKTABA

ICT ROOM

MATUNDU YA VYOO



1

BARIADI TC
Bunamhala
 584,280,029.00
357,128,779.66

8

1

3

1

1

10

72

Ujenzi unaendelea


2

BARIADI DC
Nkololo
584,280,029.00
424,727,809.00

8

1

3

1

1

10

88

Ujenzi unaendelea


3

BUSEGA DC
Kiloleli
584,280,029.00
78,333,912.00

6

1

3

1

1

10

50

Ujenzi unaendelea


4

ITILIMA DC
Nkoma
584,280,029.00
490,181,584.64

8

1

3

1

1

10

95

Ujenzi unaendelea


5

MASWA DC
Mwabaraturu
584,280,029.00
482,579,526.34

8

1

3

1

1

10

85

Ujenzi unaendelea


6

MASWA DC
Sukuma
584,280,029.00
515,285,445.31

8

1

3

1

1

10

96

Ujenzi unaendelea


7

MEATU DC
Kabondo
584,280,029.00
448,681,210.55

8

1

3

1

1

10

85

Ujenzi unaendelea


8

MEATU DC
Mbushi
584,280,029.00
395,441,653.26

8

1

3

1

1

10

75

Ujenzi unaendelea



JUMLA
 
4,674,240,232.00
3,192,359,921.00

70

9

27

9

9

90

 



 

Jedwali Na.22: Ujenzi wa Shule mpya za Sekondari za Amali (SEQUIP – Awamu ya III)

Na

HALMASHAURI

KATA 

KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA

KIASI KILICHOTUMIKA 

MIUNDOMBINU INAYOJENGWA

ASILIMIA YA JUMLA YA UJENZI ILIYOFIKIWA


MADARASA

JENGO LA UTAWALA

MAABARA

MAKTABA

ICT ROOM

MABWENI

BWALO

KARAKANA

NYUMBA

MATUNDU YA VYOO



1

ITILIMA DC
Mwamapalala

1,600,000,000.00

1,243,029,033.96

8

1

2

1

1

4

1

2

1

8

92


2

BARIADI DC
Nkololo

584,280,029.00

398,728,092.00

8

1

2

1

1

0

0

0

1

8

83


3

MASWA DC
Malampaka

584,280,029.00

444,282,469.14

8

1

2

1

1

0

0

0

1

8

93


4

MEATU DC
Mwandoya

584,280,029.00

369,315,000.00

8

1

2

1

1

0

0

0

1

8

90



JUMLA
 

3,352,840,087.00

2,455,354,595.10

32

4

8

4

4

4

1

2

4

32



 

2.9.1 Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa

Katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa yenye thamani ya Tshs. 4,450,000,000.00, ujenzi unaendelea katika hatua mbalimbali kwa miundombinu ya awamu ya pili baada ya kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu ya awamu ya kwanza. Hadi sasa kwa ujumla ujenzi wa miundombinu yote ya shule umefikia asilimia 97.2 ambapo miundombinu inayoendelea kukamilishwa kwa sasa ni ile ya awamu ya pili ambayo ni madarasa 10, mabweni 04, nyumba za walimu 03, maktaba, chumba cha TEHAMA na Bwalo. Ujenzi huu wa awamu ya pili umefikia asilimia 85 na upo katika hatua mbalimbali kama inavyoonekana katika jedwali lifuatalo na unatarajiwa kukamilika 30 Juni, 2025.

 

Jedwali Na.23: Hatua za Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana (Fedha za Awamu ya pili)

HALMASHAURI

KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA

KIASI CHA FEDHA KILICHOTUMIKA

HATUA YA UJENZI KWA KILA MIUNDOMBINU

% ya Ujenzi

MADARASA

MABWENI

NYUMBA

MAKTABA

ICT ROOM

BWALO

Bariadi DC

1,450,000,000.00

892,637,308.16

10 Ukamilishaji
2 Upauaji, 1 kuta, 1 msingi
Lenta
Ukamilishaji
Ukamilishaji
Ukamilishaji

85

Sababu za kutokamilika kwa mradi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa

Zipo sababu mbalimbali zilizosababisha mradi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa kutokamilika hadi sasa. Hata hivyo, pamoja na kuwepo kwa changamoto hizo Mkoa unaendelea kusimamia kwa karibu ukamilishaji wa mradi huu na kuhakikisha unakamilika katika viwango vilivyotarajiwa. Sababu za kutokamilika kwa mradi ni pamoja na;-

  • Fedha kupokelewa nje ya bajeti hivyo kuchelewa kupata vifungu vya matumizi kwa wakati
  • Changamoto ya mfumo wa malipo kwa kipindi fulani hali iliyosababisha wakati fulani mafundi na vibarua kuacha kazi kwa kukosa malipo ya kazi walizofanya kwa wakati.

2.9.2 Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wavulana ya Kanda ya Ziwa

Mkoa ulipokea fedha kiasi cha Tshs. 4,100,000,000.00 kwa ajili ya ujaenzi wa Shule ya Sekondari ya Bweni ya Wavulana ya Kanda ya Ziwa inayojengwa katika Halmashauri ya Mji Bariadi, Kata ya Mhango, Mtaa wa Ntuzu. Ujenzi wa miundombinu ya Jengo la Utawala, vyumba vya madarasa, mabweni, bwalo, chumba cha wagonjwa, maabara, maktaba, Chumba cha TEHAMA na nyumba za walimu na matundu ya vyoo unaendelea katika hatua mbalimbali ambapo hadi sasa umefikia asilima 58 na unatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 18 Julai, 2025. 

 

2.9.3 Ujenzi wa nyumba za walimu kupitia mradi wa SEQUIP

Katika kuhakikisha kuwa walimu wanapata malazi yaliyo bora ili kuboresha utendaji kazi wao, Mkoa ulipokea fedha Tshs. 1,600,000,000.00 kupitia program ya SEQUIP kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 16 za walimu (2 in 1) ambapo awamu ya kwanza ulipokea Tshs. 600,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 06 ambazo zimekamilika na zinatumika. Aidha, awamu ya pili Mkoa umepokea Tshs. 900,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 09 ambazo zipo katika hatua mbalimbali za ujenzi kama inavyooneka katika jedwali lifuatalo.

Jedwali Na.24: Hatua za ujenzi wa nyumba za walimu kwa fedha za awamu ya pili

NA

MKOA

HALMASHAURI

JINA LA SHULE

KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA

KIASI KILICHOTUMIKA 

 HATUA ZA UJENZI ZILIZOFIKIWA 




1

SIMIYU
BARIADI DC
IHUSI

      100,000,000.00

67,896,660.00

Ukamilishaji

2

SIMIYU
BARIADI TC
SALUNDA

      100,000,000.00

97,100,000.00

Ukamilishaji

3

SIMIYU
BARIADI TC
MWAKIBUGA

      100,000,000.00

96,808,000.00

Ukamilishaji

4

SIMIYU
BUSEGA DC
MWABASABI

      100,000,000.00

28,089,807.00

Upauaji

5

SIMIYU
ITILIMA DC
NKUYU ITILIMA

      100,000,000.00

100,000,000.00

Imekamilika

6

SIMIYU
MASWA DC
KULIMI MKUYUNI

100,000,000.00

89,092,500.00

Ukamilishaji

7

SIMIYU
MASWA DC
DAKAMA MASWA

100,000,000.00

99,700,000.00

Ukamilishaji

8

SIMIYU
MEATU DC
MWANHUZI

100,000,000.00

89,500,000.00

Ukamilishaji

9

SIMIYU
MEATU DC
MBUGAYABANYHA

100,000,000.00

90,300,000.00

Ukamilishaji

 
JUMLA
 
 

      900,000,000.00 

 

 

 

2.10 Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika Sekta ya Elimu

Mkoa wa Simiyu umepata mafanikio mbalimbali kuanzia mwaka 2021 hadi sasa kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanyika katika Sekta ya Elimu. Miongoni mwa mafanikio hayo ni pamoja na;

  1. Kuvuka lengo kwa kuandikisha watoto wenye umri wa kuanza Darasa la Kwanza 76,785 kati ya 73,302 ya lengo ambayo ni sawa na asilimia 104.8.
  2. Kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia katika Shule za Msingi na Sekondari kwa kuongeza miundombinu ya madarasa, madawati, matundu ya vyoo na nyumba za walimu
  3. Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Bweni ya Wasichana ya Mkoa inayogharimu Tshs. 4.450 Billioni kupitia mradi wa SEQUIP ambayo imeanza kutumika na hadi sasa imepokea jumla ya wanafunzi 206 wa Kidato cha Tano mwaka 2024 na wanafunzi 120 wa Kidato cha Kwanza mwaka 2025
  4. Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Bweni ya Wavulana ya Kanda ya Ziwa inayogharimu Tshs. 4.1 Billioni kupitia mradi wa SEQUIP ambapo shughuli za ujenzi zinaendelea katika hatua mbalimbali na unatarajiwa kukamilika mwezi Julai, 2025.
  5. Shule za Msingi za Serikali za Serikali imeongezeka kutoka 564 mwaka 2021 hadi 606 mwaka 2025 ikiwa ni ongezeko la shule 42 sawa na asilimia 6.9.
  6. Idadi ya Shule za Sekondari za Serikali imeongezeka kutoka 152 mwaka 2021 hadi 183 mwaka 2025 ikiwa ni ongezeko la shule 31 sawa na asilimia 16.9.
  7. Idadi ya wanafunzi katika Shule za Msingi imeongezeka kutoka 504,987 mwaka 2021 hadi kufikia wanafunzi 545,090 mwaka 2025 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 7.3.
  8. Idadi ya wanafunzi wa Shule za Sekondari imeongezeka kutoka 69,601 mwaka 2021 hadi kufikia wanafunzi 93,387 mwaka 2025 ikiwa ni sawa na ongezeko asilimia 25.4.

Shule mpya zimewapunguzia wanafunzi umbali wa kutembea na hivyo kuongeza mahudhurio yao shuleni.

  1. Kupatiwa magari 12 kwa Maafisa Elimu wote wa Halmashauri wa Idara za Elimu ya Msingi na Sekondari ambayo yamerahisisha usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za Elimu.


 Mikakati ya kuendelea kuinua  Sekta ya Elimu 

  • Kuendelea kuboresha na kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya elimu hususani vyumba vya madarasa, Maabara, Nyumba za Walimu na matundu ya vyoo
  • Kuhakikisha wanafunzi wote waliodahiliwa kujiunga na Elimu ya Awali, Darasa la Kwanza na Kidato cha Kwanza 2025 wanaripoti wanahudhuria masomo yao na kukamilisha mzunguko wao wa elimu
  • Kuendelea kuhamasisha wazazi/ walezi kuchangia chakula cha wanafunzi shuleni ili kuimarisha afya na mahudhurio ya wanafunzi
  • Kuendelea kuhamasisha jamii na wadau mbalimbali kuhusu uchangiaji wa rasilimali (vifaa na fedha) ili kuendelea kuboresha miundombinu na samani za shule
  • Kuanzisha Shule za Elimu ya Sekondari ya Juu (A – Level) katika Tarafa tano (5) ambazo hazina Shule. Tarafa hizi ni Nkololo (Bariadi DC), Busega (Busega DC), Mwagala (Maswa DC), Kinang’weli na Bumera (Itilima DC).
  • Kuhakikisha Maafisa Elimu ngazi ya Mkoa na Halmashauri wanaendelea kusimamia ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi Shuleni ili kuongeza kiwango cha ufaulu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa