Sekta ya Afya imeendelea kuwa muhimu katika kutoa huduma bora za Afya kwa wananchi wa Mkoa wa Simiyu. Katika kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025, mafanikio mbalimbali yamepatikana kama ifuatavyo:- Kuongezeka kwa vituo vya kutolea huduma za Afya kutoka Vituo 242 Novemba,2020 hadi Vituo 272 Aprili, 2025. Mchanganuo wa vituo hivyo ni pamoja na kuongezeka kwa Hospitali ya Mkoa1,Hospitali za Wilaya zimeongezeka kutoka 3 hadi kufikia 6 (Bariadi1,Busega 1 na Itilima 1), Vituo vya Afya vimeongezeka kutoka 19 hadi kufikia 21, (ongezeko ni zahanati 2 Wialaya ya Itilima 1,na Meatu 1). Zahanati zimeongezeka kutoka 190 .hadi kufikia 242 (ongezeko ni zahanati 52. Bariadi zimeongezeka zahanati 17, Busega 1,Itilima 8, Maswa 11 na Meatu 6)
Wilaya/Taasisi |
Hospitali ya Rufaa |
Hospitali za Wilaya(serikali na (Dini) |
Zahanati |
Vituo vya Afya |
Asilimia Upatikanaji wa dawa na vifaa tiba(asilimia%) |
Idadi ya Watumishi |
Nyumba |
|||||||
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
2020 |
2025 |
|
Rufaa
|
1 |
1 |
|
|
|
|
|
|
|
|
139 |
330
|
0 |
0
|
Bariadi
|
|
|
3
|
3
|
36
|
53
|
4
|
4
|
48.50% |
87.50% |
393 |
606
|
9 |
26 |
Busega
|
|
|
2
|
2
|
26
|
27
|
4
|
4
|
41% |
85% |
255
|
260
|
0 |
12 |
Itilima
|
|
|
1
|
1
|
34
|
42
|
4
|
5
|
38% |
86% |
123
|
274
|
25 |
32 |
Maswa
|
|
|
1
|
1
|
43
|
54
|
4
|
4
|
48% |
84% |
|
|
78 |
100 |
Meatu
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
63 |
82 |
JUMLA
|
|
|
9
|
|
190
|
242
|
19
|
21
|
|
|
1400 |
2142 |
175
|
252
|
Miundombinu mipya kama vile Idara za EMD 5 na ICU vyumba vya kuhifadhia maiti,vyumba vya upasuaji na Maabara za kisasa ,Majengo ya Kufulia vifaa kwa wakati na majengo hayo yote ya meanza kutoa huduma kwa wananchi. Mkoa wetu ulipata mashine ya CT – scan ambayo tayari imeshaanza kutoa huduma kwa wananchi. Pia tunao mtambo wa kuzalisha hewa tiba (oxygen plant) unaotosheleza mahitaji ya Mkoa wetu wa Simiyu na pia majirani zetu wa Mara. Mtambo huo unauwezo wa kuzalisha kiasi cha mitungi 80-100 kwa siku.
Bariadi - Somanda
Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.
Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054
Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054
Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz
Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa