• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Media Centre
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

WATUMISHI SIMIYU WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI MFUMO MPYA WA UNUNUZI WA UMMA KIELEKTRONIKI NeST.

Posted on: August 17th, 2023

Bariadi,


Makatibu Tawala wasaidizi,wakuu wa vitengo pamoja na Maafisa  katika Ofisi ya katibu  Tawala Mkoa wa Simiyu wameanza kupatiwa mafunzo ya Mfumo mpya wa Ununuzi wa Umma kielektroniki NeST ili waweze kufanya manunuzi kupitia mfumo huo mpya ulioboreshwa zaidi.


Kaimu katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bw.Majuto Njanga ameyafungua mafunzo hayo ya siku 4, yaliyoanza kutolewa katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Simiyu ambapo amewataka washiriki kufuatilia kwa makini mafunzo hayo ili Mkoa uweze kutumia mfumo wa NeST kwa wakati kulingana na maelekezo yaliyotolewa na Serikali.

Bw.Njanga amewaambia washiriki wa mafunzo hayo kuwa mfumo wa Nest utakapoanza kutumika utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza vitendo vya rushwa pamoja na kuongeza uwajibikaji baina ya watumishi wa Umma katika Taasisi za Serikali.

Amewataka Makatibu Tawala wasaidizi pamoja na wakuu wa vitengo ofisini hapo kuteua  watumishi  sahihi kutoka kwenye Idara zote  kama miongozo inavyoelekeza  katika matumizi sahihi ya Mfumo mpya wa NeST.

Agosti 1 Hadi 5 ,2023 Wataalamu 6 kutoka Ofisi ya katibu Tawala Mkoa wa Simiyu walishiriki mafunzo  mjini Dodoma ya kuwajengea uwezo kuwa wawezeshaji wa Mfumo mpya wa NeST yalitolewa na PPRA

Mafunzo ya Mfumo wa NeST yatatolewa pia kwa watumishi wa ngazi ya Halmashauri Mkoani Simiyu ili waweze kuanza mara moja kutumia Mfumo huo mpya  wa ununuzi wa Umma.

Awali Serikali ilikuwa ikitumia mfumo wa TANEPS katika ununuzi wa Umma ambao  ulibainika kuwa na changamoto mbalimbali hatua iliyopelekea Serikali kuachana na mfumo wa zamani na kuja na  Mfumo mpya wa NeST ili kurekebisha changamoto zilizojitokeza na kuboresha Mfumo mzima wa ununuzi wa Umma Nchini.



GCO,

Simiyu -RS 

17 Agosti 2023.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • SHULE 8 ZA MSINGI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA SIMIYU.

    April 20, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani
    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa