• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

WALIMU WA HISABATI SHULE ZA MSINGI BUSEGA WAPATIWA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI SOMO LA HISABATI, ❇️WAISHUKURU SERIKALI,MRADI WA SHULE BORA KWA JITIHADA KUINUA UFAULU WA SOMO HILO.

Posted on: September 5th, 2023


Busega,

Walimu wa Somo la Hisabati wa  Shule za Msingi  Wilayani Busega Mkoani Simiyu  wamepatiwa mafunzo ya umahiri kuhusu uboreshaji wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Hisabati.

Mafunzo hayo yanayoendelea  katika ukumbi wa Shule ya Msingi Lukungu katika  Kata ya Lamadi Wilayani humo ni muendelezo wa Mafunzo ya  yaliyofunguliwa Tarehe  4 Septemba 2023 na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bw.Majuto Njanga

Mafunzo hayo yanayofadhiliwa na Mradi wa Shule Bora  yana lengo la  kuwajengea uwezo wa umahiri katika kuandaa mbinu rafiki za kuwasilisha maarifa ya somo hilo kwa wanafunzi, hatua itakayosaidia wanafunzi kupenda kujifunza somo hilo.

Kwa upande wao walimu  wa somo la Hisabati waliopatiwa mafunzo hayo wameishukuru Serikali pamoja na  Mradi wa Shule Bora Mkoani Simiyu  kwa  kuwapa maarifa na mbinu ambazo ni rafiki katika uhamasishaji, ufundishaji na ujifunzaji wa somo la hisabati.

Mafunzo hayo ya  uboreshaji wa ufundishaji na ujifunzaji wa somo la Hisabati kwa. Shule  za Msingi Wilayani Busega  yatamalizika  Tarehe 8 Septemba 2023


GCO,

Simiyu RS

05/09/2013

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa