• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Media Centre
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

SIMIYU WAITIKIA KWA KISHINDO KAMPENI YA RAIS SAMIA HUDUMA YA MSAADA WA KISHERIA, KUTENGA CHUMBA KILA KATA,KIJIJI KWA AJILI YA UTOAJI MSAADA WA KISHERIA BAADA YA KAMPENI, RC SIMIYU ATOA WITO KWA WANANCHI KUTUMIA VYEMA FURSA HIYO.

Posted on: September 18th, 2023

Bariadi,


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt. Yahaya Ismail Nawanda amesema Mkoa wa Simiyu umejipanga vyema kuhakikisha kuwa Wananchi hususani wasiokuwa na uwezo  Mkoani humo wanafikiwa na huduma ya msaada wa kisheria.


Dkt.Nawanda ameyasema hayo 18 Septemba 2023 wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya utoaji huduma ya  Msaada wa kisheria kwa Wananchi ijulikanayo kama Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa  kisheria,uliofanyika katika eneo la Stendi ya Zamani ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi.


Katika kuunga Mkono Kampeni hiyo ya Mama Samia Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda amesema Mkoa utatoa chumba maalumu kwa ajili ya Wataalamu wa Sheria kuhudumia Wananchi katika kila Ofisi za  Kata na Kila kijiji mara baada ya Kampeni ya Mama Samia  lengo likiwa ni kuhakikisha Wananchi wapatao Milioni 2.5 Mkoani Simiyu  wanafikiwa na huduma hiyo muhimu.


"Tutatoa vyumba hivi bure kabisa na naomba nikuthibitishie Mhe.Waziri kuwa  kuwa tumejipanga vyema katika kuhakikisha kuwa malengo mahsusi ya Kampeni ya Mama Samia yanatekelezwa kikamilifu ,kwetu hii ni fursa na naomba nikuhakikishie kuwa tunaenda kuvunja rekodi kwa kuwa na watu wengi zaidi na Simiyu tunakwenda kuwa wa kwanza"Alisema Dkt Nawanda.


Aidha Mkuu wa Mkoa Dkt Nawanda amemhakikishia Waziri wa Sheria na  Katiba kuwa kama Mkoa watatoa ushirikiano  mkubwa kwa Maafisa  wote watakaoshiriki katika kampeni hiyo muhimu ili kufikia  lengo la  kuwafikia watu wengi zaidi Vijijini.


Amesema kuwa Mhe Rais ametoa huduma hiyo bure  hivyo Wananchi wote  wenye changamoto za kisheria mirathi,kijinsia na migogoro ya ardhi pamoja na matatizo ya mikataba  kutumia hiyo fursa kwenda kupata huduma bure"alisisitiza Mkuu wa Mkoa Dkt Nawanda.


GCO,

Simiyu RS

18 Septemba 2023.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • SHULE 8 ZA MSINGI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA SIMIYU.

    April 20, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani
    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa