• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Media Centre
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

RC SIMIYU AWAAGIZA UONGOZI BUSEGA KULIPA STAHIKI NA MADAI YA WALIMU KWA WAKATI, AMPONGEZA DIWANI WA KABITA KWA KUTOA MOTISHA KWA WALIMU, AWATAKA VIONGOZI WENGINE KUIGA MFANO.

Posted on: May 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt.Yahaya Nawanda akizungumza wakati wa hafla ya kuwakabidhi walimu iliyofanyika katika kata ya Kabita Wilayani Busega.

Na:IO Simiyu

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt.Yahaya Nawanda amewaagiza Viongozi Wilayani Busega kuhakikisha Walimu wanalipwa madai yao mbalimbali wanayodai kwa wakati   ili kuleta ari ya Walimu kufanya kazi zaidi ili kuinua ubora wa Elimu.

Dkt.Nawanda pia amewaagiza Viongozi hao kuhakikisha watoto wote walioacha shule kutokana na sababu mbalimbali wanarejeshwa shule ili kuondoa tatizo la mdondoko wa Wanafunzi Wilayani humo.

Mhe Dkt.Nawanda ametoa maagizo hayo katika hafla ya kuwapongeza Walimu iliyofanyika katika Kata ya Kabita iliyoandaliwa na Diwani wa Kata hiyo Mhe. Silas Sosola  kwa lengo la kuwapongeza Walimu  kwa kazi kubwa waliyofanya ya kuinua ufaulu katika Kata hiyo.

Mhe.Nawanda emeeleza kuwa endapo walimu watalipwa madai yao kwa wakati na kuboreshewa maslahi yo itasaidia kwa sehemu kubwa kuinua ubora wa Elimu na hivyo kuongeza kiwango cha ufaulu wa Wanafunzi.

Ameeleza kuwa Serikali inachukua hatua mbalimbali kuboresha maslahi ya Walimu pamoja na watumishi wengine ambapo amempongeza Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa hatua anazochukua katika kuboresha maslahi ya watumishi wa Umma Nchini.

Aidha amempongeza Diwani wa Kata ya Kabita kwa kuandaa hafla ya kuwapongeza Walimu ambapo ametoa wito kwa viongozi wengine kuiga mfano wa Diwani huyo kuwapa motisha walimu ili kuamsha ari ya utendaji kazi kwa Watumishi hao

Katika Hafla hiyo pia Dkt.Nawanda amekabidhi Walimu wakuu wa Shule za Sekondari zilizofanya vizuri  zawadi ya Shilingi laki tano kila mmoja pamoja na vyeti ikiwa ni pongezi kutoka kwa Diwani wa Kata ya Kabita kwa kuthamini mchango wa Walimu hao katika  kuinua ubora wa Elimu katika Kata hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • SHULE 8 ZA MSINGI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA SIMIYU.

    April 20, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani
    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa