• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

RAIS DKT SAMIA AWAGUSA YATIMA SIMIYU.

Posted on: December 30th, 2023



ATOA ZAWADI MBALIMBALI KWA VITUO VIWILI VYA YATIMA KWA  AJILI YA SIKUKUU YA MWAKA MPYA 2024.


RC SIMIYU AKABIDHI ZAWADI HIZO KWA NIABA YAKE.


Busega,


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh.Dkt Yahaya E. Nawanda amekabidhi zawadi mbalimbali kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan katika vituo viwili vya kuelelea watoto Yatima Wilayani Busega Mkoani humo.


Dkt.Nawanda amekabidhi zawadi hizo  kwa niaba ya Mhe.Rais Dkt Samia ikiwa ni dhamira njema ya Mhe.Rais  kuungana na Yatima,wasiojiweza na waishio katika Mazingira magumu Mkoani Simiyu katika kusherehekea Mwaka mpya 2024.


Vituo vilivyonufaika na Zawadi mbalimbali kwa ajili ya mwaka mpya kutoka kwa Mhe.Rais Dkt.Samia Mkoani Simiyu ni pamoja na Kituo Cha kulelea watoto yatima cha Bethany pamoja na Kituo Cha ulelea watoto Yatima Cha Kalemera vyote vya Wilayani Busega.


Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi hizo Mkuu wa Mkoa Dkt Nawanda amewaambia watoto hao kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan anawapenda na kwba anaungana nao katika kusherehekea sikukuu hizo.


"Tunamshkuru sana Mhe.Rais kwa kutuchagua Mkoa wetu wa Simiyu kuwa miongoni mwa wanufaika wa zawadi hizi za Mwaka mpya kwa ajili ya Yatima na waishio katika Mazingira magumu"Alisema Mkuu wa Mkoa Dkt Nawanda.


Kwa upande wao watoto pamoja na Viongozi wa Vituo hivyo vya kulelea watoto Yatima Wilayani Busega wamemshukuru Rais Dkt. Samia kwa kuwajali Kwa zawadi hizo kipindi hiki Cha sikukuu.


Zawadi zilizokabidhiwa ni pamoja na Mbuzi kadhaa kwa ajili  ya kitoweo,Mchele,Maharage,Sukari,Unga wa Sembe,Juisi,Maji,Sabuni pamoja na Viunfo vya Chakula.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa