• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

MAAFISA ELIMU KATA,WALIMU WAKUU BUSEGA WAJENGEWA UWEZO UFUNDISHAJI SOMO LA HISABATI.

Posted on: September 4th, 2023

NI KWA UFADHILI WA MRADI WA SHULE BORA,


WENYEWE WAKIRI MAFUNZO HAYO KUWA MWAROBAINI KUONGEZA UFAULU WA HISABATI.


Busega,

Walimu Wakuu wa Shule za msingi Wilayani Busega Mkoani Simiyu wamepatiwa mafunzo kuhusu Uboreshaji  ufundishaji na Ujifunzaji wa umahiri wenye changamoto katika somo la Hisabati.

Kaimu  Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bw.Majuto Njanga Kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa Bi Prisca Kayombo ameyafungua  mafunzo hayo ya siku 4 yanayofanyika katika Ukumbi wa Shule ya Msingi Lukungu katika Kata ya Lamadi Wilayani humo.

Akizingumza wakati wa ufunguzi huo Kaimu Katibu Tawala Njanga amewataka walimu kuwa mfano katika kupenda somo la Hisabati Ili kuwavutia Wanafunzi nao waweze kuwa na moyo wa  kujifunza somo hilo.

Amebainisha kuwa iwapo walimu watatumia mbinu rafiki katika Uboreshaji ufundishaji na Ujifunzaji wa somo hilo itasaidia kuongeza kiwango cha ufaulu wa Wanafunzi.

Awali Mratibu Msaidizi wa Shule Bora kwa upande wa Miradi inayofanya kazi na Wizara ya Elimu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Bw.Moses Mkotya, amewataka maafisa Elimu na Wakuu wa Shule waliyoshiriki mafunzo hayo, kwenda kuyatumia kuongeza ufaulu wa hisabati katika shule zao, kwa kuwaelimisha walimu wa hisabati mbinu za ufundishaji na kufuatilia utekelezaji wake.

Kwa upande wao Maafisa Elimu Kata na Walimu Wakuu, wameshukuru Mradi wa Shule Bora, wakisema umewapa maarifa na mbinu ambazo ni rafiki katika uhamasishaji na ufundishaji wa somo la hisabati.


GCO,

Simiyu-RS

04/09/2023.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa