• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

MAADHMISHO YA SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA DUNIANI MKOANI SIMIYU, ❇️RC SIMIYU AWAONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA, ❇️AWAAGIZA WAKUU WA WILAYA/WAKURUGENZI KUSIMAMIA UTEKELEZAJI USAFI WA MAZINGIRA KILA MWEZI.

Posted on: September 16th, 2023

MAADHMISHO YA SIKU YA USAFI WA MAZINGIRA DUNIANI MKOANI SIMIYU,


❇️RC SIMIYU AWAONGOZA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA,

❇️AWAAGIZA WAKUU WA WILAYA/WAKURUGENZI KUSIMAMIA UTEKELEZAJI USAFI WA MAZINGIRA  KILA MWEZI.


Bariadi,

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt Yahaya Ismail Nawanda amewaagiza Wakuu wa Wilaya Mkoani Simiyu kuendelea kusimamia utekelezaji wa Shughuli za Usafi wa Mazingira kila mwisho wa Mwezi  ili kuimarisha Usafi wa Mazingira Mkoani humo.

Dkt.Nawanda amewaongoza Wananchi na Watumishi kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali Mkoani humo kufanya Usafi wa Mazingira katika eneo la Hospitali ya  Wilaya iliyoko Somanda Halmashauri ya Mji Bariadi  katika  kuadhimisha siku ya Usafi wa Mazingira Duniani.

Akizungumza na  Wananchi pamoja na Watumishi katika eneo la Stendi ya mabasi yaendayo Mikoani Somanda mara  baada ya usafi wa Mazingira Dkt.Nawanda ametoa rai kwa Wananchi kuendeleza utamaduni wa kufanya Usafi wa Mazingira kila mwisho wa wiki ili kuweka Mji katika hali ya Usafi.

"Maeneo mengine wamefanikiwa kuweka miji yao katika Hali ya Usafi hivyo ni muhimu na sisi mkoa wa Simiyu kuiga mifano mizuri katika maeneo mengine kwa kuendeleza utamaduni wa kufanya usafi wa mazingira kila Jumamosi Ili kuweka Mkoa wetu katika hali ya Usafi"Alisema Mkuu wa Mkoa Dkt. Nawanda.

Aidha Dkt.Nawanda pia amemuagiza mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Bariadi kuhakikisha Usafi wa vyoo katika Stendi hiyo.

Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Usafi wa Mazingira yanaadhimishwa  kwa kila Mkoa  Nchini  chini ya  kaulimbiu ya maadhimisho inayosema “Tumia mifuko mbadala wa Plastiki; kwa ustawi wa Afya, Mazingira na Maendeleo ya Uchumi”.


Kaulimbiu hii ni mwitikio wa Taifa wa Tamko la Serikali la kukataza uzalishaji, uingizaji ndani ya nchi usambazaji na matumizi ya mifuko ya plastiki na kuhimiza wananchi kutumia mifuko mbadala. Tamko hili limetokana na uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokana na utupaji ovyo wa mifuko ya plastiki ambayo imeleta madhara makubwa ya kimazingira, afya za viumbe hai, ikiwemo binadamu wanyama, pamoja na kuathiri uchumi  wa nchi kwa ujumla


GCO,

Simiyu RS

16 Septemba 2023.


www.simiyu.go.tz

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa