Posted on: September 6th, 2017
Ninafahamu kuwa leo tarehe 06/09/2017 vijana wetu walioanza darasa la Saba wanaanza mitihani yao ya siku 2 ikiwa ni hatua muhimu ya kuhitimu Elimu ya msingi.
Najua kwamba walimu, wazazi, walezi na ...
Posted on: September 5th, 2017
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka amepiga marufuku Halmashauri zote Mkoani humo kutoza ushuru wa biashara ndogondogo zinazofanywa na wananchi kwa kutandika na kupanga bidhaa zao chini au kuuzwa...
Posted on: September 3rd, 2017
Mhashamu Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la SHINYANGA Liberatus Sangu amewataka Vijana kutokubali kutumiwa kuleta vurugu, chuki na mafarakano hapa nchini.
Askofu Sangu ametoa wito huo w...