• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Wananchi Mkoani Simiyu Wajitokeza Kwenye Ujenzi wa Shule ya Vipaji Maalumu

Posted on: April 25th, 2018

Wananchi wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya hiyo Festo Kiswaga wamejitokeza kwa wingi kuchangia nguvu kazi , kuchimba msingi wa ujenzi wa madarasa zaidi 40 na mabweni 15 ya Shule ya Sekondari Simiyu

Wananchi hao wamejitokeza leo kwa wingi katika shule ya sekondari ya Simiyu kwa lengo la kuunga mkono  jitihada za Mkuu wa Mkoa wao Mhe.Anthony Mtaka za kuhakikisha wanakuza na kurudisha heshima ya elimu Mkoani humo.

Wamesema kuwa wameguswa na uamuzi wa Serikali wa kuona umuhimu wa kuboresha mazingira rafiki ya kujifunzia wanafunzi na kujenga shule kubwa ya vipaji maalum ambayo itakuwa ni msaada na utambulisho wa Mkoa wao.

Yohana Musa mkazi wa mji wa Bariadi amesema kuwa wamegusa sana na uamuzi wa Serikali ya Mkoa ikiongozwa na Mkuu wao wa Mkoa Anthony Mtaka wa kuwekeza katika elimu ambayo itawasaidia watoto wao kufikia malengo waliyojiwekea.

“chini ya uongozi wa mkuu wa Mkoa pamoja na Mkuu wa Wilaya,Mkoa wetu utakuwa na shule bora itakayochukua idadi kubwa ya wanafunzi walio na vipaji maalum ndani na nje ya Mkoa wa Simiyu…Alisema Musa.

Mwenyekiti wa mtaa wa mnara wa voda Songera Magenda amesema kuwa wananchi wake wamekuwa na muamko wa kushiriki katika shughuli za kimaendeleo ili kujenga Mkoa wao.

Magenda amesema kuwa kupitia nguvu kazi za wananchi wake ,ni matumaini yake kuwa ujenzi wa shule hiyo utaenda kwa kasi na kukamilika mapema mwaka huu ambapo ukikamilika utatoa fursa kwa wanafunzi wenye vipaji maalum wa Mkoa wa Simiyu kusoma hapo.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga amesema endapo shule hiyo ikikamilika itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi ya 1000 kwani inatarajiwa kuwa na mabweni 10 pamoja na vyumba vya madarasa visivyopungua 40.

Kiswaga amesema kuwa shule hiyo imeanza kujenga kwa jitihata za uongozi wa Mkoa ambao lengo kuu ni kuona Mkoa wa Simiyu nao unakuwa na shule kubwa,nzuri ya wanafunzi wa vipaji maalum kama ilivyo mikoa mingine.

Kiswaga pia ametoa wito kwa wanasimiyu wote wenye mapenzi mema na elimu ,waone umuhimu wa kujitolea na kuchangia ujenzi wa shule hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na kusaidia kundi kubwa na wanafunzi kusoma shuleni hapo.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI KUHUSU HABARI HII FUNGUA HAPA:-https://simiyuregion.blogspot.com/2018/04/wananchi-mkoani-simiyu-wajitokeza.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa