• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

❇️❇️SIMIYU WAHITIMISHA MAFUNZO MFUMO MPYA WA UNUNUZI WA UMMA KIELEKTRONIKI NeST NGAZI YA HALMASHAURI. HALMASHAURI ZAAGIZWA KUANZA KUTUMIA MFUMO HUO MARA MOJA.

Posted on: August 25th, 2023

Bariadi,

Halmashauri Mkoani Simiyu zimeagizwa kukamilisha kwa wakati maandalizi ya matumizi ya mfumo mpya wa ununuzi wa Umma kielektroniki NeST pamoja na kuanza mara moja kutumia mfumo huo ndani ya muda uliopangwa.


Agizo hilo limetolewa na kaimu katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bw.Majuto Njanga alipohitimisha Mafunzo ya mfumo mpya wa ununuzi wa Umma kielektroniki NeST kwa wataalamu wa Halmashauri Mkoani Simiyu yaliyodumu kwa muda wa siku 4 tangu kufunguliwa kwake 21 Septemba 2023 katika ukumbi wa Mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Simiyu.


Kaimu Katibu Tawala Njanga amesema ni muhimu kwa Maafisa wa Halmashauri waliopatiwa mafunzo ya Mfumo wa NeST mkoani Simiyu kuhakikisha Taasisi zao zinaanza mara moja kutumia mfumo huo ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza ikiwemo kutozwa faini iwapo watachelewa kutumia mfumo huo.


Amezitaka Halmashauri kuwasilisha haraka Taarifa ya utekelezaji wa matumizi ya Mfumo wa NeST kwa katibu Tawala Mkoa ifikapo 15 Septemba 2023 pamoja na kuhakikisha kuwa Elimu ya kutosha kuhusu mabadiliko haya  inatolewa ipasavyo  kwa Wazabuni na Wakandarasi ili wazeze kuwa na uelewa wa mfumo wa NeST.


Kwa upande wao washiriki walioshiriki mafunzo hayo wameishukuru Serikali kwa maboresho ya Mfumo wa Ununuzi wa Umma kielektroniki NeST ambapo wameahidi kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa.


Mafunzo ya Mfumo mpya wa Ununuzi wa Umma Kielektroniki NeST yametolewa na Wawezeshaji 6 kutoka Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Simiyu baada ya wawezeshaji hao  kushiriki mafunzo ya Siku 4 ya kuwajengea uwezo yaliyotolewa na Mamlaka ya udhibiti  wa Ununuzi wa Umma Nchini PPRA  jijini Dodoma.


GCO,

Simiyu -RS

25/08/2023


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA WAKATI WA SEMINA.




Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa