• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Simiyu Kuanzisha Kampeni ya Tohara kwa Watoto Wachanga

Posted on: July 13th, 2019

Serikali mkoani Simiyu kwa kushirikiana na wadau Shirika liliso la kiserikali la InterHelath imeanzisha huduma ya tohara kinga kwa watoto wachanga na tayari zoezi hilo limekwishaanza wilaya ya Meatu ambapo wataalam wanaotoa huduma hiyo wamekwishapatiwa mafunzo.

Matarajio ya serikali ni kusambaza huduma hiyo ya tohara kinga kwa watoto wachanga kwenye wilaya zote mkoani hapo ili huduma hiyo ipatikane kiurahisi na kwa wakati na kulifanya zoezi hili kuwa utamaduni ili jamii ione umuhimu wake tangu mtoto akiwa mdogo .

Hayo yamesemwa na mratibu wa kudhibiti UKIMWI mkoa wa Simiyu Dkt Khamis Kulemba Julai 12, 2019  wakati akiongea na waandishi wa habari katika mahojiano maalum matra baada ya kuhitimishwa kwa kikao cha wadau wa AFya kilichofanyika Mjini Bariadi.

Ameongeza  kuwa awali zoezi la tohara lilikuwa la hiari kwa wanaume waliokuwa bado hawajafanyiwa huduma hiyo ambapo amesema lilipokelewa kwa mwititiko mkubwa hivyo ikaonekana ipo haja na umuhimu wa kutoa huduma hiyo tangu mtoto akiwa mdogo ili kuwa na kizazi kijacho kilichopata huduma hiyo .

“kwa kipindi cha mwaka 2017/18 mpango wa tohara ya hiari kwa wanaume ulijikita katika halmashauri ya Bariadi, halmashauri ya Itilima na halmashauri ya Meatu kama mkoa tulikuwa tunataka tutoe tohara kinga kwa wanaume takribani 59,129 kuanzia Oktobar 2018 na kila halmashauri ina lengo lake kwa kwa Bariadi lengo lilikuwa kutahiri zaidi ya wanaume 20,440 lakini tulifanikiwa kutahiri wanaume 17,165 sawasawa na 84%, alisema Dkt Kulemba na kuongeza kuwa:

“kwa wilaya ya Itilima lengo lilikuwa kuwafikia kina baba wapatao 22,176 lakini mpaka tarehe 30 june tuliwafikia wanaume 16,621 sawasawa na asilimia 75 , kwa wilaya ya Meatu tumekwenda mbali kidogo lengo la lilikuwa kuwafikia wanaume 16,513 na mpaka mwisho wa mwezi wa sita tarehe 30 tumewafikia wanaume 15,165 sawasawa na 92% kwa mkoa mzima tumeshawafikia wanaume 48,951 sawa na 82% aliongeza Dkt Kulemba”

Aidha Dkt Kulemba ameongeza kuwa kwa mujibu wa tafiti zilizofanyika nchini Kenya ,Uganda na Afrika Kusini maeneo mengi ambayo tohara kwa wanaume ni utamaduni wao maambukizi ya UKIMWI yapo chini ikilinganishwa na maeneo ambayo tohara ipo chini maambukizi yapo juu.

“maeneo ambayo tohara ni culture(utamaduni) yao maambukizi ya virusi vya ukimwi yapo chini lakini kupitia wizara ya afya kwa kushirikiana na shirika la Interhealth hayo yote yameweza kufanyika na ndio maana tukapata matokeo haya ” alisema Dkt Kulemba .

 

MWISHO.

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa