• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Serikali Yaandaa Mfumo Maalum Kuwasaidia Wajasiriamali

Posted on: August 5th, 2020

mfuko maalum utakaowasaidia wajasiriamali wanaopata mafunzo katika taasisi mbalimbali kama SIDO na VETA kwa kuwapa mikopo ya mtaji

Hayo yamebainishwa na waziri wa viwanda na biashara, Mhe. Innocent Bashungwa kwenye kongamano la biashara na kilimo biashara kwa wanawake na vijana mkoani Simiyu lililofanyika Agosti 05, 2020 katika Viwanja vya nanenane Nyakabindi Bariadi Simiyu.

Waziri Bashungwa amesema serikali inafanya kila jitihada kuwawezesha wanawake na vijana kwani wanatambua kuwa nguvu kazi kubwa ya taifa inatokana na makundi hayo.

Katika hatua nyingine Bashungwa amewaagiza katibu mkuu wa wizara ya viwanda na biashara na kushirikiana na wa wizara ya kilimo kuhakikisha kliniki ya biashara inayotembea kufanya kazi kwa ufanisi.

Kwa upande wake Dkt Never Zehaya kutokana chuo Kikuu cha Nelson Mandela aliyegundua viuatilifu vya wadudu wahalibifu wanaoshambulia mazao mbalimbali ya wakulima ameiomba serikali kupunguza uagizaji wa dawa hizo nje ya nchi na badala yake kununua zinazotengenezwa nchino lengo likiwa ni kuwapa nguvu na uwezo wa uzalishaji mkubwa.

Ombi hilo alilitolewa wakati mawaziri wawili walipotembelea banda lake akiwemo wa viwanda na biashara Innocent Bashungwa na wa kilimo Japhet Hasunga lililopo kwenye maonesho ya nane nane kitaifa Nyakabindi mjini Bariadi mkoani Simiyu.

Dkt Zehaya kuliko serikali kutumia fedha nyingi kuagiza viuatilifu nje ya nchi ambavyo mara nyingi vimekuwa vikiripotiwa na kulalamikiwa na wakulima kutoua wadudu hao waharibifu bora kutumia vya ndani ambavyo amesema havina gharama kubwa na vinafanya vizuri shambani.

Aidha ameongeza kuwa serikali ikiwezesha dawa za ndani za kuulia wadudu waharibifu sambamba na kuhakikisha kunakuwa na soko la uhakika itawasaidia kuzalisha kwa wingi hatua itakayowawezesha kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla.

"badala ya kuagiza viuatilifu (madawa za kuulia wadudu ) ambazo zimejaa kemikali na bado kuna wakati haziui wadudu ni vyema ipunguze kuagiza nje badala yake inunue nchini kwani dawa za ndani ni nzuri na zinaua wadudu"alisema Dkt Zehaya.

MWISHO

KUPATA PICHA ZAIDI FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:-http://simiyuregion.blogspot.com/2020/08/serikali-yaandaa-mfumo-maalum.html

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa