• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Media Centre
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

RC SIMIYU AZINDUA RASMI MFUMO WA M-MAMA.

Posted on: June 6th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt.Yahaya Nawanda Juni 6, 2023  amezindua rasmi  Mfumo wa kurahisisha  usafiri wa dharura kwa Wajawazito,waliojifungua na watoto wachanga Mkoani Simiyu.

Akizingumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo huo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Dkt Nawanda amesema Mfumo huo utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza  vifo kwa akina mama na watoto wachanga kutokana na changamoto za uzazi.

Dkt.Nawanda amewapongeza Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,pamoja na  wadau wa Mfumo wa M-Mama kwa kushirikiana vema na Serikali katika kufanikisha kuanza kutumika kwa mfumo huo ambao unakwenda kuwa mkombozi kwa akina mama pamoja na watoto wachanga.

Aidha Dkt.Nawanda amewaagiza wakurugenzi wa Halmashauri Mkoani Simiyu   kuhakikisha kuwa Madereva wote watakaokuwa katika mfumo huo malipo yao yafanyike ndani ya masaa 24 ili kuleta ari kwa madereva hao kufanya kazi kwa weledi na kujituma katika kusaidia Jamii.

Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi Prisca Kayombo awali akimkaribisha Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa Dkt Nawanda amemshukuru Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa katika Sekta ya Afya.

Mratibu wa Mafunzo ya Mfumo wa M-Mama Bi.Sara William ameeleza kuwa  hadi kufikia hivi sasa mafunzo kwa wauguzi 24 pamoja na madereva Jamii zaidi ya  82 wametambuliwa na kupatiwa mafunzo kwa ajili ya kuanza matumizi ya mfumo huo ambapo jumla ya vituo 282 vyA kutolea huduma za Afya vimeunganishwa kwa ajili ya kuanza kutoa huduma.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • SHULE 8 ZA MSINGI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA SIMIYU.

    April 20, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani
    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa