• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Idara na vitengo
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA)
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
  • Sekta ya Afya
    • Hospitali ya Rufaa ya Mkoa
    • Huduma za Afya Mkoa
  • Sekta ya Elimu
  • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya Mifugo
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Maliasili na Mazingira
    • Sekta ya Ushirika
  • Sekta Utalii
  • Kituo cha Habari

NAIBU WAZIRI UTUMISHI AKOSHWA NA MIRADI YA TASAF SIMIYU.

Posted on: September 14th, 2023


Bariadi,

Naibu  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete  ameridhishwa na Utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF) inayotekelezwa ndani ya Mkoa wa Simiyu.


Naibu Waziri Kikwete  ametoa pongezi hizo  14 Septemba 2023 alipozungumza  na Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Simiyu  katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  katika ziara yake yenye lengo la kukagua Miradi mbalimbali ya TASAF Mkoani humo.

Amesema miradi ya TASAF ni tofauti na miradi mingine ya serikali kwa sababu inaonekana kwa macho na utekelezaji wake unawagusa wananchi waishio vijijini moja kwa moja.

Amesema Utekelezaji wa miradi ya kupunguza Umaskini (TPRP) kupitia Mpango wa Kunusu Kaya Maskini, umefanikiwa kutokana na mipango mizuri ya serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia ambapo zaidi ya Bil. 9.2  zimetolewa katika mkoa wa Simiyu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo.

‘’TASAF wana Uwezo wa kuzisimamia hizo fedha, kama hakuna uwezo wa kuzisimamia, tutaishia kugombana tu, tunachotaka tukileta fedha tuone thamani halisi ya fedha hizo…hivi ndivyo miradi inavyotakiwa kufanyika’’ amesema Ridhiwan.

Amezitaka Halmashauri kujifunza kwenye miradi ya TASAF ambayo imekuwa ikitekelezwa kwa wakati na kuleta tija kwa wananchi na inatekelezwa na watu wanaotaka matokeo yanayooneka.




GCO,

Simiyu RS

14 Septemba 2023.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • MASHINDANO YA UMISETA NA UMITASHUMTA YAZINDULIWA KIMKOA MASWA. DC NGATUMBURA ASISITIZA NIDHAMU NA BIDII ILI KUPATA USHINDI KATIKA NGAZI YA TAIFA.

    May 30, 2025
  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa