• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Simiyu Region

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Simiyu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

Katika Kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani TUGHE- Simiyu, Yatoa Msaada Kituo Cha Afya Ikindilo

Posted on: March 8th, 2022

Katika kuadhimisha Siku ya  Wanawake Duniani TUGHE Simiyu Yatoa Msaada Kituo Cha Afya Ikindilo 

 

Sherehe ya siku wa Wanawake duniani, huadhimishwa kila tarehe nane ya mwezi wa tatu. Katika kuadhimisha sherehe hizo, 2022, kama ilivyo ada Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE-Simiyu), waliamua kufanya matendo ya huruma Wilayani Itilima ambapo ndipo sherehe za siku ya mwanamke kimkoa zimefanyika..

Akiwakaribisha wilayani Itilima Mkurugenzi wa Wilaya ya Itilima, Bi. Elizabeth Gumbo amesema ‘’ninafuraha kubwa niwakaribishe sana Wilaya ya Itilima, Pongezi sana  Kwa Mwenyekiti na katibu wa TUGHE.Niwaombee baraza za mwenyezi Mungu, niwatie moyo wanawake wenzangu, sisi tunaweza,  na tumejionea wazi kabisa kutoka kwa Rais wetu ambaye ni mwanamama Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwanikwa ITILima tu ametupatia fedha mabazo zimewezesha ujenzi wa  vyumba 82  vya madarasa. Hivyo wakina mama sote tuwe na moyo wa kumuunga mkono mama Samia Suluhu Hassan, tupambane wenyewe, kila mmoja katika nafasi aliyopewa akaonyeshe uwezo wake. Wakina mama tuendelee kuwashauri kina mama wengine, binti zetu, familia, watoto na Taifa letu, kwani wakina mama ni jeshi kubwa’’.

Akielezea sababu za TUGHE-Simiyu, kuchagua eneo hilo na kufanya matendo ya huruma, Mwenyekiti kamati za Wanawake  TUGHE Mkoa wa Simiyu,Bi.Elizabeth Nangali Gelege   amesema “ tumeamua kufanya haya matendo ya huruma katika kituo cha afya cha Ikindilo baada ya kufahamishwa na Mganga Mkuu wilaya ya Itilima Dkt. Anorld Musiba. Kuwa kituo cha afya Ikindilo kina mahitaji. Tumekuja na mashuka, mama Samia Suluhu Hassan  ameleta  majengo, sisi tumeleta  sabuni pamoja na mashuka vyote vikiwa na thamani ya Tsh. Milioni moja. Akizungumzia kauli mbiu ya mwaka mhuu ya siku ya wanwake duniani, ambayo inasema:“Kizazi cha Haki na Usawa Kwa Maendeleo, Tujitokeze Kuhesabiwa’’. Bi. Geleje amesema Kauli mbiu hii inaonyesha wazi kwamba huu pia ni mwaka wa sensa, hivyo wanawake tujitokeze kuhesabiwa.Kila mwanamke  atumie kipaji chake kuhakikisha watu wa famia yake wanahesabiwa na  kuendeleza nchi

Akizungumzia msaada huo Katibu wa TUGHE Mkoa wa Simiyu Bi.Catherine Nyingi  amesema katika kuonyesha mshikamano,sisi TUGHE tuna kawaida ya kufanya matendo ya huruma na kurudisha huduma katika jamii.

Akitoa taarifa kuhusu kituo cha afya Ikindilo, Mganga mfawidhi Kituo cha afya Ikindilo Dkt. Elizabeth Malunde amesema Kituo cha afya Ikindilo  ni kimoja kati ya vituo 3 vya afya Wilayani itilima. Kituo hiki kimepanda kutoka  namba mbili na sasa kipo namba tatu. Kituo cha afya Ikindilo kinatoa huduma mbalimbali kama vile chanjo cha UVIKO,Kliniki ya HIV, tuanafanya tohara kwa watoto wa kiume,  wangonjwa wan je na ndani, huduma za mama na motto. Mwaka jana mwezi wa saba tulifungiwa mfumo wa GhoTomis. Upatikanaji wa Dawa 100%, upatikanaji wa damu 100% pia tuna  duka la Dawa.  Pamoja na mafaniko tajwa hapo juu bado tunakabiliwa na  mbalimbali.Changamoto kubwa tuliyo nayo ni kuwa hatuna eneo ila tupo kwenye mchakato wa kutafuta eneo . Pia tuna changamoto ya nyumba za watumishi kwani tuna Nyumba 6  tu na hivyo kufanya watumishi wengine kuishi katika maeneo ya mbali, uchakavu wa majengo, tuna changamoto ya jengo la kulaza wagonjwa- OPD, Changamoto ya watumishi, kituo hakina uzio na hivyo kufanya wanyama kuingia  ndani ya eneo la kituo cha afya,pia hakuna wodi ya kulaza watoto wachanga.Mwisho.

Matangazo

  • Wanafunzi wa Mkoa wa Simiyu waliochaguliwa Kidato cha Kwanza mwaka 2021 Shule za Serikali za Bweni na Kutwa December 18, 2020
  • Karibu Mwenge wa Uhuru Mkoani Simiyu July 04, 2022
  • " Tuna zoezi la Senza Mbele yetuni tarehe 23 Agosti 2022 Binafsi nipo tayari kuhesabiwa, nawe ukihesabiwa, wore tutakuwa tumehesaniwa na mipango endelevu itapangwa Kwa ajili yeti. Sensa Kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa" Mhe. David Kafulila July 08, 2022
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza Mwaka 2020 - Chaguo la Pili (Second Selection) January 03, 2020
  • Fungua

Habari Mpya

  • DKT. YAHAYA ESMAIL NAWANDA MKUU WA MKOA MPYA SIMIYU

    July 28, 2022
  • RC. KAFULILA APIGA MARUFUKU USAFIRISHAJI ABIRIA KWA MAGARI MADOGO YANAYO TAMBULIKA KAMA "MCHOMOKO"

    July 13, 2022
  • WANAOWAKOPA WAKULIMA WA PAMBA KUKIONA-RC KAFULILA.

    July 09, 2022
  • Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Simiyu

    July 06, 2022
  • Fungua

Video

Upimaji wa maeneo ya wakulima na wafugaji kupitia Teknolojia ya Ndege Nyuki (Drones)
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa