• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU
OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

.JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA .OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dhamira na Dira
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Health Service and SocialWelfare
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Elimu
      • Huduma za Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uhasibu na Fedha
      • TEHAMA
      • Ununuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Strong
    • Vifungu vya Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Hotuba
    • Taratibu
  • Media Centre
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Habari
    • Video
    • Albamu ya Picha
    • Matukio yajayo
  • Miradi
    • Miradi iliyotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
  • Wilaya na Halmashauri
    • Wilaya
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bariadi
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Itilima
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa
      • Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu
    • Halmashauri
      • Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi
      • Halmashauri ya Mji wa Bariadi
      • Halmashauri ya Wilaya ya Busega
      • Halmashauri ya Wilaya ya Itilima
      • Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
      • Halmashauri ya Wilaya ya Meatu
  • Uwekezaji na Utalii
    • Fursa za Uwekezaji
    • Wanyamapori na Utalii

KAMBI MAALUMU YA MATIBABU YA MADAKTARI BINGWA YA MAMA SAMIA KUTUA SIMIYU JUNI 12. RC SIMIYU AWATAKA WANANCHI KUTUMIA FURSA HIYO MUHIMU. AMSHUKURU MHE.RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUJALI AFYA ZA WANANCHI.

Posted on: June 6th, 2023

Na:IO Simiyu

Kambi Maalumu ya Madaktari Bingwa kutoka Hospitali za Rufaa za  Sekou Toure Geita,Musoma,Shinyanga,Simiyu,Kagera na Hospitali ya Kanda Bugando wataweka kambi Mkoani Simiyu ili kutoa huduma katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Dkt Yahaya Nawanda ameeleza.

Akizungumza na Waandishi wa Habari katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda amesema Kambi hiyo maalumu ya matibabu ya madaktari bingwa itaanza kutoa huduma hizo kuanzia Tarehe 12 hadi Tarehe 16 Juni 2023.

Amezitaja huduma zitakazotolewa  na Madaktari Bingwa hao kuwa ni pamoja na Uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kama vile Magonjwa ya Wanawake na Uzazi,Magonjwa ya watoto,Upasuaji,Mifupa,Mfumo wa Mkojo,Mionzi,Magonjwa ya Akili,Magonjwa ya ndani kama vile Moyo,Kisukari,Figo,Macho,Presha,pamoja na magonjwa ya Pua,Masikio,na Koo.

Aidha Dkt.Nawanda amemshukuru Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali watanzania kutokana na maboresho makubwa yanayofanyika katika Sekta ya Afya ambapo ametoa rai kwa wananchi kutumia fursa hiyo muhimu kwa kupata huduma hizo muhimu.

Amesema ni muhimu kwa Wananchi kutumia fursa hiyo kwa kuwa hujitokeza mara chache hivyo ni muhimu kujitokeza kwa ajili ya kufanya vipimo na kuzungumza na maktari bingwa hao kwa ajili ya

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 01, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • SIMIYU RS WAHAMIA JENGO JIPYA LA UTAWALA NYAUMATA

    June 03, 2024
  • RC NAWANDA ARIDHISHWA NA UJENZI MRADI WA MAJI MWABUMA/MWASHATA MEATU.

    May 30, 2024
  • RC SIMIYU ARIDHISHWA NA MAENDELEO UJENZI WA MRADI WA USAMBAZAJI MAJI WA VIJIJI VYA SUNZULA, MWAMNEMA NA NGESHA WILAYANI ITILIMA,

    May 29, 2024
  • SHULE 8 ZA MSINGI ZAPATIWA VIFAA VYA TEHAMA SIMIYU.

    April 20, 2024
  • Fungua

Video

MIAKA MINNE YA RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI SIMIYU
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Mwongozo wa Uwekezaji wa Mkoa(Fursa za Uwekezaji)
  • Historia ya Mkoa
  • TUME YA RAIS UKUSANYAJI MAONI MABORESHO YA KODI YATUA SIMIYU
  • Takwimu za haraka
  • Picha za Matukio Mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii
  • SIMIYU- RS TV

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu
  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti ya Serikali
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bariadi - Somanda

    Anuani ya Posta: S. L. P. 4, BARIADI.

    Simu ya Mezani: 028-2700011/2700054

    Simu ya Mkononi: 028-2700011/2700054

    Barua Pepe: ras@simiyu.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani
    • Video

Hati Miliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu.Haki Zote Zimehifadhiwa