Posted on: August 2nd, 2018
Naibu Waziri wa Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa ametoa wito kwa wananchi hapa nchini kupanda miti kwa wingi ili kuboresha mazingira, kutunza uoto wa asili, kuwa na uhakika wa mvua na kuepukana na ukame.
...
Posted on: August 1st, 2018
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa ametoa wito kwa wakulima kote nchini kulima kilimo chenye tija kwa kutumia zana bora za kilimo ili kuongeza uzalishaji na kupata mavuno mengi na bora.
...
Posted on: July 31st, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka ametoa wito kwa wananchi mkoani humo kujitokeza kupata huduma ya upimaji wa magonjwa yasiyaombukiza katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwe...